BUKOBA SPORTS

Monday, May 5, 2014

DIAMOND PLATINUMZ AFUNIKA TENA TUZO ZA TANZANIA KILI MUSIC AWARDS 2014


Diamond Platnum amedhihirisha kuwa yeye ni msanii mkali wa levo za kimataifa mara baada ya kuchukuwa tuzo saba katika Tuzo za Kilimanjaro 2014 (KTMA).

Diamond kanyakuwa tuzo zifuatazo:-
Msanii bora wa kiume.
Video bora ya mwaka.
Mtumbuizaji bora wa muziki wa kiume.
Wimbo bora wa Mwaka.
Mtunzi bora wa mwaka kizazi kipya.
Wimbo bora wa kushirikisha/kushirikiana.

Msanii bora chipukizi ameshinda Young Killer.


Wimbo bora wa zouk mshindi ni  

Mshindi wimbo wa Afro pop ni  -mynumber1

Mshindi wimbo bora wa Dance hall ni Chibwa- Nishai. 

Mshindi wimbo bora wa reggae ni Dabo.

Wimbo bora Taarab mshindi ni Mzee Yusuph -Wasiwasi wako. 

Kikundi bora cha mwaka cha Taarab mshindi ni Jahazi modern taarab.

Mwimbaji bora wa kike Taarab, mshindi ni Isha Ramadhan.

Mwimbaji bora wa kiume Taarab, mshindi ni Mzee Yusuph. 

Wimbo bora wa kiswahili bendi, mshindi ni Mashujaa bendi -Ushamba mzigo. 

Mwimbaji bora wa kiume bendi, mshindi ni Jose Mara. 

Rapa bora wa mwaka bendi, mshindi ni Furguson. 

Bendi bora ya mwaka, mshindi ni Mashujaa bendi.

Muimbaji bora wa kike kizazi kipya, mshindi ni 

Muimbaji bora wa kiume kizazi kipya, mshindi ni .

Kikundi bora cha mwaka muziki wa kizazi kipya, washindi ni kundi la Weusi.

Wimbo bora wa R&B, mshindi ni Vanessa Mdee -Closer. 

Wimbo bora wa HIP HOP, mshindi ni Nikki wa pili - Nje ya box.

Msanii bora wa HIP HOP, mshindi ni 

Wimbo bora wa kushirikiana, mshindi ni Ney wa mitego Ft  -Muziki gani. 

Wimbo bora wa Afrika Mashariki, mshindi ni Jose Chamilione- Tubonge.

Mtunzi bora wa mwaka Taarab, mshindi ni Mzee Yusuph. 

Mtunzi bora wa mwaka bendi, mshindi ni Christian Bella. 

Mtunzi bora wa mwaka kizazi kipya, mshindi ni
Mtunzi bora wa mwaka HIP HOP, mshindi ni  .

Mtayarishaji bora wa nyimbo wa mwaka bendi, mshindi ni Amoroso. 

Mtayarishaji bora wa muziki kizazi kipya, mshindi ni Man Water. 

Tuzo ya heshima (Hall of fame), amepewa msanii Hassan Bitchuka. 

Hall of fame (Institution), amepewa mtangazaji mkongwe Masoud Masoud. 

Video bora ya muziki ya mwaka, mshindi ni  . 

Video bora ya muziki ya mwaka, mshindi ni  -My number one. 

Wimbo bora wa mwaka, mshindi ni - My number one. 

Hadi sasa msanii  , anaongoza kwa kuchukua jumla ya tuzo 5. 

Mtumbuizaji bora wa kike, mshindi ni Isha Ramadhan.Meneja wa bia ya Kilimanjaro, George Kavishe (kulia) akimkabidhi tuzo Diamond, kushoto ni producer wa My Number One, Sheddy Clever

Tazama orodha nzima ya washindi wa tuzo hizo.

Wimbo bora wa mwaka
Number One – Diamond


Mwimbaji bora wa kike – kizazi kipya
Lady Jaydee


Muimbaji Bora wa kiume – Kizazi Kipya
Diamond


Muimbaji bora wa kike taarab
Isha Ramadhan


Muimbaji Bora wa kiume – Taarab
Mzee Yusuf


Muimbaji bora wa kiume – Bendi
Jose Mara


Muimbaji Bora wa Kike – bendi
Luiza Mbutu


Msanii Bora wa Hip Hop
Fid Q


Msanii Bora Chipukizi Anayechipukia
Young Killer


Rapa Bora wa Mwaka – Bendi
Furguson


Mtumbuizaji bora wa kike muziki
Isha Ramadhani


Mtumbuizaji bora wa kiume wa muziki
Diamond


Mtunzi Bora wa Mwaka – Hip Hop
Fid Q


Video Bora ya Mwaka
Number One – Diamond


Bendi ya Mwaka
Mashujaa Band


Kikundi cha Mwaka cha Taarab
Jahazi Modern Taarab


Kikundi cha mwaka cha kizazi kipya
Weusi


Mtayarishaji bora wa nyimbo wa mwaka – Taarab
Enrico


Mtayarishaji bora wa nyimbo wa mwaka – Kizazi kipya
Man Walter


Mtayarishaji bora wa nyimbo wa mwaka – Bendi
Amoroso


Mtunzi Bora wa Mwaka – Taarab
Mzee Yusuf


Mtunzi Bora wa Mwaka – Kizazi Kipya
Diamond


Mtunzi Bora wa Mwaka – Bendi
Christian Bella


Wimbo bora wa Kiswahili – Bendi
Ushamba Mzigo – Mashujaa Band


Wimbo bora wa reggae
Niwe na Wewe – Dabo


Wimbo bora wa Afrika Mashariki
Tubonge – Jose Chameleone


Wimbo bora wa Afro Pop
Number One – Diamond


Wimbo bora wa Taarab
Wasiwasi Wako – Mzee Yusuf


Wimbo bora wa Hip Hop
Nje ya Box – Nick wa Pili f/ Joh Makini & G-Nako
Wimbo Bora wa R&B

Closer – Vanessa Mdee


Wimbo Bora wa Kushirikiana
Muziki Gani – Nay wa Mitego ft Diamond


Wimbo bora wa ragga/dancehall
Nishai – Chibwa f/ Juru


Wimbo bora wa zouk /rhumba
Yahaya – Lady Jaydee


Hall of FAME Award
Hassan Rehani Bichuka
Masoud Masoud – TBC Taifa

No comments:

Post a Comment