BUKOBA SPORTS

Sunday, May 4, 2014

REAL MADRID 2 v VALENCIA 2, CRISTIANO RONALDO AIOKOA REAL KATIKA DAKIKA ZA MAJERUHI AKISAWAZISHA!


Cristiano Ronaldo usiku huu ameisawazishia timu yake bao kutoka 2-1 na kuwa 2-2 kwenye mtanange uliopigwa wa kukata na shoka. Bao hilo lilipatikana katika dakika za majeruhi baada ya kupata krosi safi na kuimalizia vizuri kwa kisigino nyavuni mwa lango la Valencia.
Valencia ndio walianza kupata bao katika dakika ya 44 kipindi cha kwanza kupitia kwa Jérémy Mathieu kwa kichwa safi huku Real wakisawazisha bao kipindi cha pili dakika ya 59 kupitia kwa Sergio Ramos.
Dakika ya 65 Daniel Parejo wa Valencia aliwachoma bao la pili na kufanya 2-1 dhidi ya Real wenyeji. Bao la kusawazisha kwa kufanya 2-2 lilifungwa na Cristiano Ronaldo katika dakika za lala salama katika dakika ya 90 zikiwa zimeongezwa dakika 5 tuu.
On the run: Ronaldo (centre) bursts pass Valencia's Juan Bernat (left) during a Real Madrid attackSare hii ya 2-2 inawabakisha Real katika nafasi ya tatu wakiwa na pointi 83 lakini ikiwa wanamchezo mkononi kwani wengine tayari wameishacheza mchezo wa 36 wao Real huu ulikuwa ni mchezo wa 35. Habari mbaya ni wenzao Atletico Madrid walioko kileleni kufungwa na ikiwa ni Furaha kwa Barca pia na hata Real kwani nafasi ya kuwania Ubingwa bado wanayo baada ya Atletico kuteleza leo kwa kuchapwa bao 2-0 leo na Levante.All smiles: Mathieu (second from left) celebrates his goal at the Bernabeu with his team-matesJérémy Mathieu akipongezwa!Frustrated figure: Cristiano Ronaldo looks annoyed as Valencia's players celebrate their goal in the backgroundSubiria sasa!!!!

2-1

Pisha!!In control: Madrid winger Gareth Bale (right) plays a volleyed pass during the first halfBale akifanya yake
Juan Bernat wa Valencia akimkingia kifua Cristiano Ronaldo
Jeremy Mathieu akimzuia Gareth BaleSergio Ramos akishangilia bao lake la kusawazisha

No comments:

Post a Comment