BUKOBA SPORTS

Sunday, May 4, 2014

LA LIGA: LEVANTE 2 v ATLETICO MADRID 0, LEVANTE WAINYOA ATLETI NA KUISIMAMISHA IKIWA KILELENI!!! HABARI MBAYA KWAKE!! UBINGWA SASA MIKONONI MWAO!

Missed opportunity: Diego Costa (centre) looks dejected as Atletico Madrid's title hopes were dented at LevanteATLETICO MADRID Leo hii wamepata pigo kubwa katika matumaini yao ya kutwaa La Liga baada ya kuchapwa Bao 2-0 Ugenini huko Estadi Ciutat de Valencia, Jijini Valencia, na Levante na hivyo kufungua tena milango kwa ama Barcelona au Real Madrid kunyakua Ubingwa huku Ligi ikielekea ukingoni.Bad day at the office: Costa couldn't inspire Atletico to victory at Levante
Atletico sasa wamebakisha Mechi mbili sawa na Barca na wapo kileleni wakiwa Pointi 3 mbele ya Barca lakini Real wana Mechi mbili mkononi na wakishinda hizo wataikamata kwa Pointi Atletico huku Mechi zikibaki mbili kwa kila Timu.
Frustrated: Diego Simeone's side failed to capitalise on Barcelona's draw with Getafe
Moja ya Mechi hizo mbili ni ule mtanange huko Nou Camp kati ya Barcelona na Atletico Madrid katika Siku ya mwisho ya La Liga.
Down but not out: Atletico remain top of the table, despite the setback
RATIBA/MATOKEO
Jumapili Mei 4

UD Almeria 3 Real Betis 2
Levante 2 Atletico de Madrid 0

20:00 Sevilla FC v Villarreal CF
22:00 Real Madrid 2 v Valencia 1*


Jumatatu Mei 5
23:00 Real Sociedad v Granada CF

No comments:

Post a Comment