BUKOBA SPORTS

Monday, May 5, 2014

SHEREHE YA KUWAPONGEZA MOHAMED SALUMU NA BILQIS YAFANA KAMACHUMU-BUKOBA


Sherehe ya kuwapongeza maharusi Mohamed na Bilqis waliofunga ndoa huko Daes salaam 24-4-2014 imefanyika Nyumbani kwa Bw. Salumu Mawingu Kamachumu Muleba, hakika watu kutoka maeneo mbalimbali walifika kuwapongeza.

Baba mzazi wa bwana harusi B w Salumu Mawingu (kulia)

Umati mkubwa wa wageni waliofika kamachumu

Bw Salumu akiwa na mama yake mzazi

Shekhe Haruna Kichwabuta akiwasili akiwa na Majid Kichwabuta

Shekhe Mustafa Sadick akiwa na Shekhe Kichwabuta

Bw na Bi harusi wakiwasili


Bi harusi



Balozi Kagasheki akiteta na mmoja wa mashekhe walioudhuria



Bw salumu akiwa na Bw salehe kutoka oman















Ongereni sana mumgu awabariki katika maisha mapya ya ndoa

No comments:

Post a Comment