BUKOBA SPORTS

Monday, May 5, 2014

PICHA: WA MAMA WA MJINI BUKOBA WAWAPONGEZA MOHAMED NA BILQIS KWA KUFUNGA NDOA KATIKA UKUMBI LINA'S CLUB.


Moddy akiwa akimvisha pete mkewe

Muonekano wa ukumbi ulipendeza sana

Nimekuchagua wewe!

Akaibusu pete

Keki ikatendewa haki

Wakarishana keki

Ilikuwa imetulia sana sana Wadada na Wakaka walipendeza sana



Mkao katika ukumbi
Karibu chakula mme wangu

Mama Moddy (mwenye nguo ya njano) akikaribisha wageni

Ilikuwa imetulia sana sana Wadada na Wakaka walipendeza sana



Mkao katika ukumbi


Bi Shamira mshereshaji wa shughuli nzima

Moddy na mkewe wakitinga ukumbini

Sitaki upate shida mke wangu

Inapendeza sana

Picha ya pamoja na dada zake

POZZ

Mama Moddy

Kijana mtata Chichi

Keki ikatendewa haki

Wakarishana keki






Akaibusu pete


Kamama akiwa na Murungi


Mama Mwainunu akicheka na camera yetu

Wa mama walipendeza


Mama Bingwa

Mama na mwana




Mama na Mwana

Karibu chakula mme wangu



Mashangazi wamependeza...


Tunawatakia maisha mema

No comments:

Post a Comment