Salzburg 2 vs 1 Malmo
Steaua Bucharest 1 vs 0 Ludogorets
Besiktas 0 vs 0 Arsenal
Kobenhavn 2 vs 3 Bayer Leverkusen
Napoli 1 vs 1 Athletic

VIKOSI:
ARSENAL:
Arsenal: Szczesny, Debuchy, Koscielny, Chambers, Monreal, Arteta, Ramsey, Cazorla, Wilshere, Sanchez, Giroud
Subs: Martinez, Bellerin, Miquel, Flamini, Rosicky, Oxlade-Chamberlain & J.Campbell.
BESIKTAS:
Besiktas: Tolga, İsmail, Motta, Ersan, Pedro, Olcay, Veli, Necip, Oğuzhan, Mustafa, Demba Ba
Subs: Gonen, Kurtulus, Sivok, Tore, Koyunlu, Tosun, Boral.
Demba Ba kuondoza mashambulizi...usiku huu.
Arsenal,Basiktas kumenyana usiku huu saa 3:45

Kocha wa Arenal, Arsene Wenger
Beki wa kushoto wa Arsenal, Kieran Gibbs atakosa mechi zote za ligi ya mabingwa dhidi ya Besiktas baada ya kuumia eneo la uvungu wa goti.
Gibbs atakaa benchi kwa takriban majuma matatu baada ya kuumia wakati wa mchuano kati ya Arsenal na Crystal Palace siku ya jumamosi.

Pia mshambualiaji Yaya Sanogo hajasafiri kwenda uturuki kwa ajili ya mpambano wa leo
Kocha wa Arsenal Arsene Wenger amesema anatamani kupambana na timu zilizo juu zaidi barani ulaya.
Siku ya jumanne Arsenal itacheza mechi ya kwanza dhidi ya Basiktas nchini Uturuki.
Arsenal iliidhidbiti klabu nyingine ya Uturuki Fenerbahce katika hatua ya makundi msimu uliopita.
Vikosi vinaweza kuwa hivi..
Arsenal: Szczesny, Debuchy, Koscielny, Chambers, Monreal, Arteta, Ramsey, Cazorla, Wilshere, Sanchez, Giroud
Subs: Martinez, Bellerin, Miquel, Flamini, Rosicky, Oxlade-Chamberlain & J.Campbell.
BESIKTAS:
Besiktas: Tolga, İsmail, Motta, Ersan, Pedro, Olcay, Veli, Necip, Oğuzhan, Mustafa, Demba Ba
Subs: Gonen, Kurtulus, Sivok, Tore, Koyunlu, Tosun, Boral.

Kocha wa Arenal, Arsene Wenger
Beki wa kushoto wa Arsenal, Kieran Gibbs atakosa mechi zote za ligi ya mabingwa dhidi ya Besiktas baada ya kuumia eneo la uvungu wa goti.
Gibbs atakaa benchi kwa takriban majuma matatu baada ya kuumia wakati wa mchuano kati ya Arsenal na Crystal Palace siku ya jumamosi.
Pia mshambualiaji Yaya Sanogo hajasafiri kwenda uturuki kwa ajili ya mpambano wa leo
Kocha wa Arsenal Arsene Wenger amesema anatamani kupambana na timu zilizo juu zaidi barani ulaya.
Siku ya jumanne Arsenal itacheza mechi ya kwanza dhidi ya Basiktas nchini Uturuki.
Arsenal iliidhidbiti klabu nyingine ya Uturuki Fenerbahce katika hatua ya makundi msimu uliopita.
No comments:
Post a Comment