Bao nyingine za Tottenham zilifungwa na Erika Lamela Mchezaji wa Argentina ambae alimalizia Mechi hii akiwa Kipa na kufungwa Penati baada ya Kipa Hugo Lloris kutolewa nje kwa Kadi Nyekundu iliyozaa Penati hiyo katika Dakika ya 87.
Nao Celtic, wakicheza kwao Mechi ya Kundi D, waliifunga Astra Giurgiu, Bao 2-1.
Partizan Belgrade 0 vs 4 Besiktas
Tottenham 5 vs 1Asteras Tripolis
KUNDI H
FK Krasnodar 2 vs 4 VfL Wolfsburg
Lille 0 vs 0 Everton
No comments:
Post a Comment