RATIBA:
Jumamosi Oktoba 4
17:00 Hull v Crystal Palace
17:00 Leicester v Burnley
17:00 Liverpool v West Brom
17:00 Sunderland v Stoke
17:00 Swansea v Newcastle
19:30 Aston Villa v Man City

Jumapili Oktoba 5
14:00 Man United v Everton
16:05 Chelsea v Arsenal
16:05 Tottenham v Southampton
18:15 West Ham v QPR
Van Gaal amesema: “Katika nafasi ya Rooney, Juan Mata ameshacheza vizuri sana. Inabidi nichague. Nitamkosa sana Rooney kwa sababu ni Nahodha lakini Mata anacheza vizuri sana nafasi hiyo.”
Van Gaal ameeleza: “Ni ngumu kueleza. Unaweza ukawa umepona lakini ukawa sio fiti kwa Mechi. Kwa mfano Herrera yuko fiti lakini hatakiwa kuguswa kwenye mbavu. Fellaini amefanya Mazoezi Wiki moja lakini hayuko fiti kucheza Dakika 90.”
Aliongeza: “Tuna Masentahafu watatu majeruhi hivyo MacNair atacheza. Yeye ndio Mchezaji pekee anaeweza kucheza nafasi ya Kulia ya Sentahafu. Nilimchagua Mechi iliyopita na alicheza vizuri sana. Changamoto kubwa kwake ni kumudu kiwango kilekile.”
Kipa wa Man United De Gea
No comments:
Post a Comment