BUKOBA SPORTS

Tuesday, January 20, 2015

IVORY COAST 1 vs 1 GUINEA, SEYDOU DOUMBIA AIOKOA TIMU KIPIGO! GERVINHO AKIONESHWA KADI NYEKUNDU!

Guinea walipata BAO kupitia kwa Mohamed Yattara dakika ya 36 kipindi cha kwanza.
Nao Ivory Coast walizinduka wakiwa pungufu 10 Uwanjani na mchezaji wake Seydou Doumbia dakika ya 72 aliweza kusawazisha bao.

 Gervinho dakika ya 58 kipindi cha pili aliondolewa Uwanjani kwa kuoneshwa kadi nyekundu baada ya kumpiga kiwiko mchezaji wa Guinea Naby Keita.
VIKOSI:
Guinea Kikosi kilichoanza

Yattara, Yattara, Camara, Pogba, Sylla, Keita, Traore, Fofana, Constant, Sankoh, Conte.
Ivory kikosi kilichoanza.
Gbohouo, Aurier, Kolo Toure, Bailly, Kanon, Yaya Toure, Tiote, Gonzaroua Die, Gervinho, Bony, Kalou. 


Yattara akishangilia bao lake kwa  Guinea usiku huu

Kipa wa Guinea Naby Moussa Yattara akiokoa shuti la mchezaji mpya wa Man City  Wilfried Bony

Mashabiki wa Ivory Coast wakishangilia sare yao kwenye mitaa huku wakiwa wameshona kwenye Gari Dogo na wengine wakininginia.

No comments:

Post a Comment