Chelsea walitangulia kupata bao kupitia kwa Eden Hazard dakika ya 10 na kipindi cha kwanza kumalizika wakiwa mbele ya bao hilo 1-0 dhidi ya Mabingwa wa Spain Barcelona.
Kipindi hicho hicho cha pili dakika za wishoni ya 85 Gary Cahill aliisawazishia bao kwa kichwa na kuumia baada ya kupanguliwa kukutana mkono wa kipa wa Barca Ter Stegen.
Dakika 90 zilikatika kwa sare ya 2-2 na kwenda hatua ya Matuta na Chelsea kushinda kwa mikwaju hiyo ya penati 4-2.
VIKOSI:
CHELSEA: Courtois, Ivanovic, Zouma, Cahill, Azpilicueta, Fabregas, Matic, Kenedy, Oscar, Hazard, Diego Costa
BARCELONA: Ter Stegen, Rakitic, Sergio, Suarez, Bartra, Douglas, Munir, Sandro, Adriano, Mathieu, Gumbau
No comments:
Post a Comment