Kesho Usiku Leicester wako kwao King Power Stadium kucheza na Newcastle ambayo ni ya pili toka mkiani lakini sasa wana Meneja mpya, Rafa Benitez, anaeanza kazi yake mpya rasmi hiyo kesho baada ya kupewa wadhifa huo Juzi alipotimuliwa Steve McClaren.
Aston Villa: Guzan, Hutton, Okore, Lescott, Cissokho, Veretout, Gana, Westwood, Gil, Ayew, Gestede
Akiba: Bunn, Richards, Clark, Bacuna, Sinclair, Green, Lyden
Tottenham: Lloris, Walker, Alderweireld, Wimmer, Rose, Dier, Dembele, Lamela, Eriksen, Alli, Kane
Akiba: Vorm, Trippier, Davies, Carroll, Mason, Chadli, Son
No comments:
Post a Comment