
Katitika mchezo huo uliopigwa katika dimba la Stamford Bridge, alikuwa Pedro aliyoipatia Chelsea goli katika dakika ya 12, kabla ya baadaye beki ya Chelsea kuzembe na kuruhusu magoli mawili.
Michy Batshuayi aliifungia Chelsea goli la kusawazisha kabla ya baadaye Cesar Azpilicueta kufunga goli la tatu katika dakika ya 87 kabla ya Batshuayi kuongeza goli lake la pili na kufanya matokeo kuwa 4-2.


No comments:
Post a Comment