
Goli la Aguero la kipindi cha kwanza alilofunga kwa penati iliyotolewa kwa utata limemfanya afikishe magoli 177 kuifungia klabu hiyo sawa na mchezaji wa zamani wa Manchester City Eric Brook.
Kocha wa Manchester City Pep Guardiola alimkumbatia kwa furaha Aguero wakati mchezaji huyo wa Argentina alipotoka uwanjani huku mashabiki wakisimama jukwaani kuonyesha heshima kwake.


No comments:
Post a Comment