Hayo yalisemwa jana na Makamu wa Rais, Samia Suluhu katika sherehe ya kutimiza miaka 20 ya kutoa huduma nchini Tanzania iliyofanyika Dar es Salaam.
“Niwapongeze kwa kufikisha mihongo miwili ya kutoa huduma, mimi ni mtumiaji wa king’amuzi chenu na napenda kuangalia vipindi vya Eva na Maisha Magic Bongo kwani inasaidia kupumzisha akili baada ya kuchoka,” alisema
No comments:
Post a Comment